Archives

MCHUMBA ANATAKA NAFASI? INA MAANA GANI HAPA, NA MTAWEKAJE MAMBO YENU PAMOJA
Mteja wangu aliniuliza swali, alisema. Mchumba wake anahitaji muda wa kuwa mbali na mimi ili kufikiria kuhusu maisha yetu ya baadae, na hapakuwa na matumaini kwa ajili yetu. Nimekata tamaa. …

UFUNGUO WA KUSHINDWA NI KUSIKILIZA KWA AJILI YA KUJIBU BADALA YA KUELEWA
Matarajio VS Ukweli Ufunguo wa mafanikio katika mahusiano ni mawasiliano. lakini wengi wetu hatuna uwezo wa kusikiliza wenzetu.

SIFA 5 ZA MWANAMKE MWENYE MVUTO WA JUU
Kuwa na mvuto haihusiani na kutumia manicure, moisturizer, au kununua nguo za gharama na viatu vya gharama na pochi. Nimesema baadhi tu ya vitu ambavyo wanawake wanapenda kuvitumia.

JIFUNZE KUPENDA KWA UFAHAMU ZAIDI, KWA NDANI ZAIDI, KWA UKWELI
Unataka kujijali? Na kuwapenda wengine. Unavyowapenda wengine, unajifunza kujipenda wewe kama mtu anaestahili kupata upendo huo.

UMEWAHI KUDANGANYWA? UTATAMBUAJE NIA NA MBINU ZA UDANYANYAJI
Kila mtu anahitaji kukutana na mahitaji yake , mbali na kuwa na uvumilivu , kuwa na heshima, kuwa na busara, kutokuwa na tamaa ya kitu, hata katika kuridhika na kila …

KAMA HUPENDI MAJIBU YAKE KATIKA MASWALI HAYA 3, ACHANA NAE
Jiokoe na vitu vinavyoumiza Nilichoka kutoka na mwanaume na kupoteza muda wa wiki, na hata mwezi , kujaribu kumfahamu .Nilifahamu sifa ambazo nazitaka kwa mwanaume, cha muhimu zaidi , nilifahamu …

NJIA 4 ZA KURUDISHA HAMU YA MAHUSIANO.
Unahitaji kupata msaada wa kujenga mahusiano unayoyataka na kuwa na kiwango kizuri katika mapenzi ya sex kwenye maisha yako.

SABABU KUBWA ZINAZOHARIBU MAHUSIANO –NA KITU GANI CHA KUFANYA KUHUSU HILI.
Kwenye movies tunaambiwa kwamba unaweza kumtazama mtu machoni na kufahamu kuwa unaweza kuishi nae maisha ya kudumu na ya furaha.

SABABU 3 , KWA NINI MIPANGO YAKO ULIOJIWEKEA INAKUKOSESHA MAPENZI YA KWELI
Kitu kidogo ambacho kinaweza kubadilisha kila kitu ni kujikubali. Ni kwa jinsi gani Mwanamke mwenye uhuru wake anahitaji kuwa na viwango vyake inapokuja wakati wa kuhitaji mwenza kwa siku za …

NDIO, NI KAZI YAKO KUMFANYA MUME WAKO AWE NA FURAHA
Kwa nini watu wengi huwa tunafikiria kuwa ndoa ndio itatupatia furaha? Napenda kuona ndoa zilivyo na muungano mzuri, zinatumia mapatano–